Email Us

MINISTRY OF HEALTH

NATIONAL PUBLIC HEALTH LABORATORY

ISO 15189:2012 ACCREDITED

UFUNGUZI WA KONGAMANO LA KISAYANSA LA WATAALAMU WA MAABARA WANAFUNZI

Posted on: April 29th, 2023


Hafla ya ufunguzi wa kongamano la kisayansi la wataalamu wa Maabara wanafunzi, Mgeni rasmi akiwa Mganga mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dkt. Rashid Mfaume.

Katika hafla hiyo mgeni rasmi alitembelea Banda letu na  kujua huduma zitolewazo na Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii

Aidha katika hafla hiyo Meneja wa Maabara ya Taifa alizungumza na wanafunzi wa tasnia hiyo kuhusu umuhimu wa fani hiyo ya Maabara.

LOCATION

ADVERT

image description

VIDEO GALLERY

Contact Us

  • Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii
  • EPZA area,mandela road
  • S.L.P 9083, Dar Es Salaam
  • Telephone: +255 734 677 337
  • Mobile: +255 734 677 338

Visitors Counter

  • Today 57
  • Yesterday 270
  • This Week 947
  • This Month 515
  • All Days 30058
@ NPHL.All Rights Reserved
@ Developed By NPHL & MOH Team
}